Maoni juu ya tovuti

82.83%
5.47%
11.69%
40.35%
25.13%
34.53%
40.41%
23.97%
35.62%
Generic placeholder image
Wataalamu wa Sekta ya Maji Wapatiwa Mafunzo ya Kuimarisha Usimamizi wa Ubora wa Maji katika Mabwawa Madogo

Wataalamu kutoka Sekta ya Maji wamepatiwa mafunzo maalumu yenye lengo la kujenga uelewa wa pamoja kuhusu namna bora ya kuandaa mpango wa kutathmini na kufuatilia ubora wa maji katika mabwawa madogo nc...... Soma zaidi

Imewekwa: 16th Jul 2026
Generic placeholder image
Wadau wa Sekta ya Maji Wasisitizwa Kushirikiana Kutatua Changamoto za Rasilimali za Maji

Wadau wa Sekta ya Maji nchini wametakiwa kuimarisha ushirikiano na kufanya kazi kwa pamoja katika kutafuta na kutekeleza suluhisho la changamoto mbalimbali zinazokabili usimamizi, uhifadhi na uendelez...... Soma zaidi

Imewekwa: 16th Jul 2026
Generic placeholder image
WaterAid Yakabidhi Mradi wa Maji Wenye Thamani ya Shilingi Milioni 465 Handeni

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amepokea rasmi Mradi wa Usambazaji wa Huduma ya Maji ya Mtandao wa Mabomba wa Kwamaizi uliotekelezwa katika Kata ya Kideleko, Halmashauri ya Mji...... Soma zaidi

Imewekwa: 16th Jul 2026
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025

RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi

20th Mar 2025 Mlimani City Dar Es Salaam

Advertisements

Jarida Tando, Aprili - Juni 2026

Soma zaidi

Jul 16, 2026
Hati Idhini 2025

Soma zaidi

May 26, 2026
Hotuba ya Bajeti 2026/27

Bofya ku... Soma zaidi

May 05, 2026

Karibu

Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi

Vyanzo vya Maji Tanzania

Waliotembelea Tovuti