Habari

Wizara ya Maji Yaanza Utekelezaji Kufikisha Maji Vijiji 1,575

​Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amezindua rasmi mradi mkubwa wa maji wa Badilisha Maisha, Mpwapwa wenye thamani ya takribani shilingi bilioni 30, ukiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita kuhakikisha huduma ya majisafi na salama inawafikia wananchi wengi zaidi.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 28, 2026

Mhandisi Mwajuma Waziri Ashinda Tuzo ya Malkia wa Nguvu

Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma katika kilele cha utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu kwa Kanda ya Kati, zilizofanyika jijini Dodoma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 27, 2026

ZAMCOM Wakutana Tanzania

Maji ya kimataifa yanazidi kuthibitisha kuwa ni moja ya rasilimali muhimu zinazoleta umoja, ushirikiano na maendeleo kati ya nchi mbalimbali na wananchi wao.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 27, 2026

Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 20, 2026

​Waziri Aweso Atoa Agizo Kali Kudhibiti Maji Yasiyolipiwa

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha wanadhibiti maji yasiyolipiwa (NRW) katika maeneo wanayotoa huduma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 16, 2026

​Wizara ya Maji Kuwajengea Uwezo Wataalam Kuhusu Usalama wa Mabwawa

Wizara ya Maji kwa kushirikiana na taasisi binafsi imeandaa mafunzo kuhusu usalama wa mabwawa Ili kuhakikisha mabwawa yanaendelea kuwa salama kwa matumizi yaliyokusudiwa hapa nchini.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 31, 2026