Habari
Bodi ya NJUWASA Kuimarisha Mikakati ya Uhifadhi wa Vyanzo vya Maji
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Njombe (NJUWASA) imefanya ziara ya kikazi kukagua utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Lugenge pamoja na kutathmini hali ya chanzo cha maji cha Ijunilo, kwa lengo la kujiridhisha na kiwango cha maji katika chanzo hicho.... Soma zaidi
Imewekwa: Oct 25, 2025
Kamati ya Usalama Yaridhishwa na Utekelezaji wa Miradi ya Maji Morogoro Mjini
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Morogoro, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya Mhe. Mussa Kilakala, imetembelea na kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya maji inayoendelea kutekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA)... Soma zaidi
Imewekwa: Oct 25, 2025
Ujenzi wa Bwawa la Songwe Lawakutanisha Viongozi wa Serikali
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ameongoza kikao muhimu cha Makatibu Wakuu kujadili hatua za utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Songwe Chini pamoja na Mtambo wa Kuzalisha Nishati ya Umeme, mradi mkubwa unaolenga kuimarisha usimamizi wa rasilimali za maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Oct 22, 2025
Wizara ya Maji Yafanya Kikao cha Majadiliano Kuhusu Teknolojia ya Onyo la Mapema
Wizara ya Maji imefanya kikao cha majadiliano na Shirika la GSMA kuhusu ushirikiano katika teknolojia ya kisasa katika kuimarisha mifumo ya onyo la mapema nchini, Cell Broadcast.... Soma zaidi
Imewekwa: Oct 03, 2025
RUWASA na EACOP Zafikia Makubaliano Kufikisha Huduma ya Maji Wakazi 27,000
Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) umesaini mkataba na Shirika la Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa Maji katika Vijiji Tisa (9) wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 1.4 katika mikoa ya Manyara na Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 30, 2025
Katibu Mkuu Maji Awataka Wahandisi Kuchangamkia Fursa za Utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri amewataka wahandisi nchini kuchangamkia fursa zilizopo za kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayolenga kulifikisha taifa katika uchumi wa kipato cha kati cha juu.... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 30, 2025
