Habari
Wizara ya Maji Yaanza Utekelezaji Kufikisha Maji Vijiji 1,575
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amezindua rasmi mradi mkubwa wa maji wa Badilisha Maisha, Mpwapwa wenye thamani ya takribani shilingi bilioni 30, ukiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita kuhakikisha huduma ya majisafi na salama inawafikia wananchi wengi zaidi.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 28, 2026
Mhandisi Mwajuma Waziri Ashinda Tuzo ya Malkia wa Nguvu
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma katika kilele cha utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu kwa Kanda ya Kati, zilizofanyika jijini Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 27, 2026
ZAMCOM Wakutana Tanzania
Maji ya kimataifa yanazidi kuthibitisha kuwa ni moja ya rasilimali muhimu zinazoleta umoja, ushirikiano na maendeleo kati ya nchi mbalimbali na wananchi wao.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 27, 2026
Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 20, 2026
Waziri Aweso Atoa Agizo Kali Kudhibiti Maji Yasiyolipiwa
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha wanadhibiti maji yasiyolipiwa (NRW) katika maeneo wanayotoa huduma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 16, 2026
Wizara ya Maji Kuwajengea Uwezo Wataalam Kuhusu Usalama wa Mabwawa
Wizara ya Maji kwa kushirikiana na taasisi binafsi imeandaa mafunzo kuhusu usalama wa mabwawa Ili kuhakikisha mabwawa yanaendelea kuwa salama kwa matumizi yaliyokusudiwa hapa nchini.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 31, 2026
