Habari
Kamati ya Bunge Yapongeza Utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kidunda
Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira imetoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuidhinisha Shilingi bilioni 335 na kuwezesha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bwawa la Kidunda, mkoani Morogoro.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 18, 2026
Sekta ya Maji Yaonesha Mafanikio Makubwa
Sekta ya maji nchini imepongezwa kwa mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa miaka ishirini ya Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji (WSDP).... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 17, 2026
Miradi ya Maji Yazidi Kupokea Fedha Ili Kufikisha Huduma kwa Wananchi
Serikali ya Tanzania imeweka mkazo mkubwa katika Sekta ya Maji kwa kutoa Shilingi bilioni 930 kwa miradi mbalimbali, ikiwemo Shilingi bilioni 336 kwa ujenzi wa Bwawa la Kidunda, linalotarajiwa kuimarisha upatikanaji wa maji safi na pia kuzalisha umeme.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 17, 2026
Wataalamu wa RUWASA Wajengewa Uwezo Kuhusu Uendeshaji na Matengenezo ya Skimu za Maji
Wahandisi na wataalamu wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wanapatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo kuhusu matumizi ya teknolojia ya nishati ya jua katika miundombinu ya usambazaji wa maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 16, 2026
