Habari
Wizara ya Maji Yaendesha Mafunzo Kuhusu Uhifadhi wa Vyanzo vya Maji - Kidakio cha Bahi
Bahi... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 30, 2026
Tanzania na Korea Katika Mpango wa Usimamizi wa Kisasa wa Majitaka
KOICA... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 29, 2026
Wizara ya Maji Yaanza Utekelezaji Kufikisha Maji Vijiji 1,575
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amezindua rasmi mradi mkubwa wa maji wa Badilisha Maisha, Mpwapwa wenye thamani ya takribani shilingi bilioni 30, ukiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita kuhakikisha huduma ya majisafi na salama inawafikia wananchi wengi zaidi.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 28, 2026
Mhandisi Mwajuma Waziri Ashinda Tuzo ya Malkia wa Nguvu
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ametunukiwa Tuzo ya Utumishi Bora wa Umma katika kilele cha utoaji wa Tuzo za Malkia wa Nguvu kwa Kanda ya Kati, zilizofanyika jijini Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 27, 2026
ZAMCOM Wakutana Tanzania
Maji ya kimataifa yanazidi kuthibitisha kuwa ni moja ya rasilimali muhimu zinazoleta umoja, ushirikiano na maendeleo kati ya nchi mbalimbali na wananchi wao.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 27, 2026
Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 20, 2026
