Habari

RUWASA Iringa Yang’ara na Mradi wa Maji Itagutwa
Mwenge wa Uhuru umekagua na kuzindua rasmi Mradi wa Maji wa Itagutwa, uliotekelezwa na Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Iringa. Mradi huo ni sehemu ya juhudi za Serikali za kuhakikisha wananchi wa vijijini wanapata huduma ya majisafi, salama na ya uhakika.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 29, 2025

Mafunzo Elekezi kwa Waajiriwa Wapya ni Muhimu katika Kuimarisha Utumishi wa Umma
Wizara ya Maji kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma imeratibu mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa wizara hiyo. Mafunzo hayo yamehusisha watumishi wapya 60 na kufanyika katika Mji wa Serikali jijini Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 29, 2025

Ushirikiano wa Tanzania na Qatar Kuimarisha Huduma ya Majitaka Nchini
Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Dodoma (DUWASA), Mtwara (MTUWASA) na Ubalozi wa Tanzania Nchini Qatar zimeahidiwa ushirikiano katika eneo la Usafi wa Mazingira hususani suala la udhibiti na uondoshaji wa majitaka.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 25, 2025

Watumishi Wizara ya Maji Watakiwa Kuongeza Zaidi Bidii Katika Kazi
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka watumishi wa Wizara ya Maji kuongeza zaidi bidii katika kazi na kutumia weledi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za utumishi wa umma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 24, 2025

Utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Mto Kiwira Mbeya Washika Kasi
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya imepokea sehemu ya bomba ya utekelezaji wa mradi wa Maji toka chanzo cha mto Kiwira.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 18, 2025

Mkandarasi Bwawa la Itaswi-Kisaki Kondoa Kulipwa Madai Yake
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemuagiza Mtendaji Mkuu Mfuko wa Maji wa Taifa, Haji Nandule kumlipa mkandarasi Canopies International (T) LTD anayetekeleza mradi wa ujenzi wa Bwawa la Itaswi-Kisaki wilayani Kondoa mkoani Dodoma shilingi milioni 700 ili mradi huo ukamilike kwa haraka.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 18, 2025