Habari

Waziri Aweso Atangaza Mikakati ya Kuboresha Huduma ya Maji Nchini

​Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), ameweka wazi mikakati kabambe ya kufika katika lengo la Sekta ya Maji nchini wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Bungeni, jijini Dodoma.... Soma zaidi

Imewekwa: May 05, 2026

Wizara ya Maji Yaja na Vipaumbele Mahsusi Mwaka 2026/2027

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amewasilisha bajeti ya takriban shilingi trilioni 1.12 yenye vipaumbele mahususi kwa Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2026/2027, akitoa matumaini mapya kwa mamilioni ya Watanzania wanaosubiri kuboreshwa kwa huduma ya majisafi na salama.... Soma zaidi

Imewekwa: May 05, 2026

Wananchi Waishukuru Serikali kwa Kuhamasisha Uoteshaji wa Miti Kwenye Vyanzo

​Wananchi wa Kijiji cha Dudiye Wilayani Babati Mkoa wa Manyara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kutoa elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji ikiwamo chanzo cha maji cha Mtoto Bubu mkoani humo.... Soma zaidi

Imewekwa: May 03, 2026

Wizara ya Maji Yaendesha Mafunzo Ya Uhifadhi Wa Vyanzo Vya Maji Kwa Wadau Wa Kidakio Cha Bahi

Wizara ya Maji kupitia Programu ya Uhimilivu Dhidi ya Mabadiliko ya Tabianchi na Uboreshaji wa Huduma ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Dodoma Resilient and Sustainable Water Development and Sanitation Program imeendesha mafunzo ya usimamizi na uhifadhi wa Kidakio cha Bahi.... Soma zaidi

Imewekwa: May 03, 2026

Gwandi Yaamka na Neema ya Maji! Wananchi Washusha Shukrani Kwa Serikali

​Wananchi wa Kijiji cha Gwandi, Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kukamilisha mradi wa maji katika kijiji hicho.... Soma zaidi

Imewekwa: May 03, 2026

Tanzania na Korea Katika Mpango wa Usimamizi wa Kisasa wa Majitaka

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amefungua kikao cha wataalamu wa Wizara hiyo pamoja na ujumbe kutoka Jamhuri ya Korea, ukiongozwa na wataalamu kutoka Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Korea (KOICA).... Soma zaidi

Imewekwa: May 03, 2026