Habari
Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 20, 2026
Waziri Aweso Atoa Agizo Kali Kudhibiti Maji Yasiyolipiwa
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha wanadhibiti maji yasiyolipiwa (NRW) katika maeneo wanayotoa huduma.... Soma zaidi
Imewekwa: Apr 16, 2026
Wizara ya Maji Kuwajengea Uwezo Wataalam Kuhusu Usalama wa Mabwawa
Wizara ya Maji kwa kushirikiana na taasisi binafsi imeandaa mafunzo kuhusu usalama wa mabwawa Ili kuhakikisha mabwawa yanaendelea kuwa salama kwa matumizi yaliyokusudiwa hapa nchini.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 31, 2026
Tanzania Yasisitiza Dhamira Kuendeleza Diplomasia Ya Maji
Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendeleza ushirikiano wa kikanda katika usimamizi wa rasilimali za maji katika Mkutano wa Maji wa Sululta na Diplomasia ya Maji (Sululta Water and Hydro Diplomacy Conference) uliofanyika katika Mji wa Bishoftu, nchini Ethiopia.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 31, 2026
Maji Washirikiana na Sekta Binafsi Kuendeleza Vyanzo vya Maji
Sekta ya Maji inaendelea kuwashirikisha wadau wa maendeleo na sekta binafsi katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maji kwa manufaa ya jamii.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 26, 2026
