Habari

Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Miji 28 Chamwino

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa miji 28 wenye thamani ya Shillingi bilioni 17.2, katika mji wa Chamwino, Dodoma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 20, 2026

​Waziri Aweso Atoa Agizo Kali Kudhibiti Maji Yasiyolipiwa

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha wanadhibiti maji yasiyolipiwa (NRW) katika maeneo wanayotoa huduma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 16, 2026

​Wizara ya Maji Kuwajengea Uwezo Wataalam Kuhusu Usalama wa Mabwawa

Wizara ya Maji kwa kushirikiana na taasisi binafsi imeandaa mafunzo kuhusu usalama wa mabwawa Ili kuhakikisha mabwawa yanaendelea kuwa salama kwa matumizi yaliyokusudiwa hapa nchini.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 31, 2026

Tanzania Yasisitiza Dhamira Kuendeleza Diplomasia Ya Maji

Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendeleza ushirikiano wa kikanda katika usimamizi wa rasilimali za maji katika Mkutano wa Maji wa Sululta na Diplomasia ya Maji (Sululta Water and Hydro Diplomacy Conference) uliofanyika katika Mji wa Bishoftu, nchini Ethiopia.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 31, 2026

Maji Washirikiana na Sekta Binafsi Kuendeleza Vyanzo vya Maji

Sekta ya Maji inaendelea kuwashirikisha wadau wa maendeleo na sekta binafsi katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maji kwa manufaa ya jamii.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 26, 2026

Jarida la Wiki ya Maji 2026

Wiki ya Maji... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 19, 2026