Habari

Miradi ya Maji Yaendelea Kutekelezwa Nchini-Waziri Mkuu

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maji nchini ili kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma ya majisafi na salama katika maeneo yao ya makazi.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2025

Naibu Waziri Kundo Aongoza Ujumbe wa Tanzania Mkutano wa Mawaziri Wa Bonde la Ziwa Victoria Nchini Kenya

​Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 23 wa Baraza la Mawaziri wa Kisekta wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC) Jijini Kisumu, nchini Kenya.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2025

RUWASA Iringa Yang’ara na Mradi wa Maji Itagutwa

Mwenge wa Uhuru umekagua na kuzindua rasmi Mradi wa Maji wa Itagutwa, uliotekelezwa na Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Iringa. Mradi huo ni sehemu ya juhudi za Serikali za kuhakikisha wananchi wa vijijini wanapata huduma ya majisafi, salama na ya uhakika.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 29, 2025

Mafunzo Elekezi kwa Waajiriwa Wapya ni Muhimu katika Kuimarisha Utumishi wa Umma

Wizara ya Maji kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma imeratibu mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa wizara hiyo. Mafunzo hayo yamehusisha watumishi wapya 60 na kufanyika katika Mji wa Serikali jijini Dodoma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 29, 2025

Ushirikiano wa Tanzania na Qatar Kuimarisha Huduma ya Majitaka Nchini

Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Dodoma (DUWASA), Mtwara (MTUWASA) na Ubalozi wa Tanzania Nchini Qatar zimeahidiwa ushirikiano katika eneo la Usafi wa Mazingira hususani suala la udhibiti na uondoshaji wa majitaka.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 25, 2025

Watumishi Wizara ya Maji Watakiwa Kuongeza Zaidi Bidii Katika Kazi

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka watumishi wa Wizara ya Maji kuongeza zaidi bidii katika kazi na kutumia weledi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za utumishi wa umma.... Soma zaidi

Imewekwa: Apr 24, 2025