Maoni juu ya tovuti

84.48%
5.04%
10.48%
39.34%
22.97%
37.69%
38.68%
25.74%
35.59%
Generic placeholder image
Wizara ya Maji Yafanya Kikao cha Majadiliano Kuhusu Teknolojia ya Onyo la Mapema

Wizara ya Maji imefanya kikao cha majadiliano na Shirika la GSMA kuhusu ushirikiano katika teknolojia ya kisasa katika kuimarisha mifumo ya onyo la mapema nchini, Cell Broadcast.... Soma zaidi

Imewekwa: 03rd Oct 2025
Generic placeholder image
RUWASA na EACOP Zafikia Makubaliano Kufikisha Huduma ya Maji Wakazi 27,000

​Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) umesaini mkataba na Shirika la Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa Maji katika Vijiji Tisa (9) wen...... Soma zaidi

Imewekwa: 30th Sep 2025
Generic placeholder image
Katibu Mkuu Maji Awataka Wahandisi Kuchangamkia Fursa za Utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri amewataka wahandisi nchini kuchangamkia fursa zilizopo za kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayolenga kulifikisha taifa ka...... Soma zaidi

Imewekwa: 30th Sep 2025
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025

RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi

20th Mar 2025 Mlimani City Dar Es Salaam

Advertisements

Jarida Tando: Julai - Septemba 2025

Soma zaidi

Oct 14, 2025
Kazi: Bonde la Ziwa Tanganyika

Soma zaidi

Sep 24, 2025
Stakeholders Engagement Plan for Sustainable Rural Water Supply and Sanitation Program

Stakeholders Engagement Plan for RWSSP2 click Soma zaidi

Sep 09, 2025

Karibu

Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi

Vyanzo vya Maji Tanzania

Waliotembelea Tovuti