Wizara
Hotuba Za Bajeti
Nifanyaje?
Maoni juu ya tovuti

Wizara ya Maji Yafanya Kikao cha Majadiliano Kuhusu Teknolojia ya Onyo la Mapema
Wizara ya Maji imefanya kikao cha majadiliano na Shirika la GSMA kuhusu ushirikiano katika teknolojia ya kisasa katika kuimarisha mifumo ya onyo la mapema nchini, Cell Broadcast.... Soma zaidi

RUWASA na EACOP Zafikia Makubaliano Kufikisha Huduma ya Maji Wakazi 27,000
Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) umesaini mkataba na Shirika la Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa Maji katika Vijiji Tisa (9) wen...... Soma zaidi

Katibu Mkuu Maji Awataka Wahandisi Kuchangamkia Fursa za Utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri amewataka wahandisi nchini kuchangamkia fursa zilizopo za kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayolenga kulifikisha taifa ka...... Soma zaidi
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025
RATIBA YA WIKI YA MAJI 22 MACHI 2025 Bofya ... Soma zaidi
Advertisements
Stakeholders Engagement Plan for Sustainable Rural Water Supply and Sanitation Program
Stakeholders Engagement Plan for RWSSP2 click Soma zaidi
Karibu
Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Wizara ya Maji. Maji ni hitaji la msingi na haki kwa binadamu wote. Tafadhali yathamini, kuongeza matumizi yake na kuhifadhi kwa ajili ya mazingira. Kumbuka kwamba, maendeleo huja tu wakati kuna maji mengi yenye ubora. ...Soma zaidi