Albamu ya Video
#Wikiyamaji. Unapoitwa Mtaalam Tumia taaluma yako kusaidia jamii - Aweso
Unapoitwa Mtaalam Tumia taaluma yako kusaidia jamii - Aweso
Imewekwa: Jun 03, 2021
Haya ndiyo mambo ya Rukwa
Mikakati ya Mkoa wa Rukwa ni kuhakikisha huduma ya Maji inamfikia kila mwananchi.
Imewekwa: Oct 05, 2020
Bodi za Wakurugenzi za Mamlaka za Maji: "Wajibikeni na fanyeni maamuzi" KM Maji, Mhandisi Sanga
Watendaji wa Mamlaka za Maji wametakiwa kutatua kero za wananchi badala ya kuzizoea na kuziona za kawaida. Agizo hilo limetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga.
Imewekwa: Oct 05, 2020
Bodi za Wakurugenzi wa Mamlaka za Maji zapata mafunzo ili kuimarisha huduma za maji nchini.
Bodi za Wakurugenzi wa Mamlaka za Maji zapata mafunzo ili kuimarisha huduma za maji nchini.
Imewekwa: Sep 23, 2020
Sikiliza ujumbe wa Katibu Mkuu-Maji, kwa Bodi za Wakurugenzi wa Mamlaka za Maji nchini
Sikiliza ujumbe wa Katibu Mkuu-Maji, kwa Bodi za Wakurugenzi wa Mamlaka za Maji nchini
Imewekwa: Sep 23, 2020
Huduma ya maji yasiyo na madini ya Fluoride yafikishwa shule ya wasichana Mwedo mkoani Arusha
wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Mwedo wameipongeza serikali kupitia wizara ya maji kwa kuwezesha kukamilika kwa mradi wa kuondoa madini ya fluoride katika maji. Mradi huo uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 17.5 umetekelezwa na kituo cha Utafiti wa madini ya Fluoride Ngurudoto.
Imewekwa: Sep 23, 2020