"

Albamu ya Video

Aweso akemea ubadhirifu Jumuia za watumia maji

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amekemea ubadhilifu unaofanywa na jumuia za watumia maji na kuagiza miradi isimamiwe na watalaam.

Imewekwa: Jun 03, 2021

#MAJINIUHAI TEHAMA ilivyoboresha huduma sekta ya maji

TEHAMA Katika sekta ya maji

Imewekwa: Jun 03, 2021

Maboresho katika huduma ya maji yamepunguza magonjwa ya mlipuko- Wataalam wa Maji

Maboresho katika huduma ya maji yamepunguza magonjwa ya mlipuko- Wataalam wa Maji

Imewekwa: Jun 03, 2021

Kumekucha Dodoma. Mashine za kupambana na changamoto ya maji zawasili. Kazi usiku na mchana

Pampu kwa ajili ya visima vya maji vinavyochimbwa eneo la Mzakwe mjini Dodoma zimewasili. Kazi imeanza usiku na mchana ikitarajiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa changamoto ya huduma ya maji katika jiji hilo

Imewekwa: Jun 03, 2021

Aweso atinga Arumeru na kutoa suluhu ya kukamilika mradi wa maji

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekamilisha ziara ya kikazi mkoani Arusha kwa kukagua ujenzi wa miundombinu ya mradi wa maji katika kijiji cha Ligamba, wilayani Arumeru.

Imewekwa: Jun 03, 2021

Wizara yaja na Luku za maji. zinafanya kazi kama king'amuzi. unajipimia, kama bando la simu

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amefanya kikao na kamati ya Kudumu ya Bunge inayoshughulika na masuala ya mifugo, maji na kilimo. kikao hicho kilikuwa na lengo la kupata ufahamu wa pamoja wa mifumo ya ukusanyaji wa bili za maji pamoja na mfumo wa pamoja wa ukusanyaji wa mapato, (Unified Billing system). Katika kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Mhe. Christine Ishengoma Mhe. Aweso amewahakikishia wajumbe kuwa Wizara ya Maji inaendelea na taratibu mbalimbali zenye lengo la kuondoa changamoto za ulipaji wa bili za maji.

Imewekwa: Jun 03, 2021