Habari
Simiyu: Utekelezaji wa Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi Wafikia Asilimia 72
Utekelezaji wa Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi katika Mkoa wa Simiyu umefikia wastani wa asilimia 72, huku wadau wakikutana kujadili maendeleo ya utekelezaji wake na hatua zinazofuata ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 06, 2026
Mradi wa Maji Dambia Haydom Kuwafikia Dongobesh
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Kundo Mathew (Mb), amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Manyara kuwa Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha Mradi wa Maji wa Dambia–Haydom unakamilika na kuendelezwa hadi kufikia Mji wa Dongobesh.... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 04, 2026
Wataalamu RUWASA Wapatiwa Mafunzo ya Uendeshaji na Matengenezo ya Skimu za Maji
Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Arusha, Mhandisi Joseph Makaidi, amefungua rasmi mafunzo ya uendeshaji na matengenezo ya skimu za maji kwa wataalamu wa RUWASA... Soma zaidi
Imewekwa: Mar 04, 2026
Wizara Inahitaji Watumishi Wenye Nia ya Matokeo
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesema Wizara ya Maji inahitaji watumishi Wanaofanya kazi Kwa nia ya kuleta matokeo Ili kuimarisha huduma kwa wananchi.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 28, 2026
Dkt. Nchemba Apongeza Utekelezaji wa Mradi wa Miji 28 Tanga
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) amesema Mradi wa Maji wa Sinya-Namanga utakuwa ni suluhu ya changamoto ya muda mrefu ya huduma ya maji kwa wananchi wa Longido.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 26, 2026
Mradi wa Sinya-Namanga kuwa suluhu ya huduma ya majisafi Longido
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) amesema Mradi wa Maji wa Sinya-Namanga utakuwa ni suluhu ya changamoto ya muda mrefu ya huduma ya maji kwa wananchi wa Longido.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 25, 2026
