Habari

​Tanzania na Kenya waungana kupanda miti kulinda Mto Mara

l... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 13, 2025

Katibu Mkuu Maji asisitiza utoaji wa elimu ya utunzaji mto mara kwa wanafunzi

k... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 13, 2025

Watumishi Wenye Sifa Waingizwe Kwenye Mfumo Wa E-Utumishi

​Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira pamoja na maafisa rasilimali watu kuhakikisha watumishi wote wenye sifa wanaingizwa kwenye mfumo wa E-Utumishi.... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 11, 2025

Mkurugenzi Mtendaji BUWASA Aridhishwa na Maendeleo ya Mradi wa Maji Nyamuswa

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWASA), Esther Gilyoma,ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Nyamuswa,... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 10, 2025

Mwenge wa Uhuru Wazindua Mradi wa Maji wa Zaidi ya Bilioni 3 Kagera

​Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ally Ussi, amezindua mradi wa upanuzi wa mtandao wa majisafi awamu ya pili wenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 3.15, mradi unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA).... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 09, 2025

IGUWASA Yawekeza Zaidi ya Sh. Bilioni 1.86 Kwenye Huduma ya Usafi wa Mazingira

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Igunga (IGUWASA) imeanza kutumia magari mapya ya kisasa ya uondoshaji majitaka, baada ya uwekezaji wa zaidi ya Shilingi bilioni 1.86 katika mradi wa ujenzi wa mabwawa ya majitaka na ununuzi wa magari hayo.... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 08, 2025