Habari
Sekta ya Maji Yaazimia Kufanya Mageuzi Makubwa ya Kidigitali
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesema Sekta ya Maji imejipanga kufanya mageuzi makubwa ya kidigitali kwa kuwekeza katika mifumo ya teknolojia ya habari na mawasiliano, kwa lengo la kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 02, 2026
Waziri Aweso Asisitiza Ufanisi na Tija kwa Bodi za Maji za Mabonde
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amezisistiza Bodi za Maji za Mabonde nchini kuimarisha ushirikiano wa karibu ili kuhakikisha ufanisi na matokeo yenye tija katika usimamizi wa rasilimali za maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Jan 31, 2026
Mhandisi Mwajuma Awataka Bodi ya Taifa ya Maji Kutembelea Miradi ya Maji
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ameitaka Bodi ya Taifa ya Maji kutembelea miradi ya maji inayotekelezwa kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu Sekta ya Maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Jan 31, 2026
Waziri Aweso Aanika Mafanikio ya Sekta ya Maji
Waziri wa Maji, Mheshimiwa Jumaa Aweso (Mb), amesema kuwa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, yameendelea kuwa dira kuu ya utekelezaji wa majukumu ya Serikali ya Awamu ya Sita, hususan katika Sekta ya Maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Jan 31, 2026
Bodi za Maji za Mabonde Zatakiwa Kuimarisha Ufuatiliaji na Tafiti za Vyanzo Vipya vya Maji
Bodi za Maji za Mabonde nchini zimetakiwa kuimarisha ufuatiliaji wa mwenendo wa rasilimali za maji na kuendelea kufanya tafiti za kina za kubaini vyanzo vipya vya maji, hususan maji chini ya ardhi.... Soma zaidi
Imewekwa: Jan 31, 2026
Ulinzi wa Vyanzo vya Maji ni Msingi wa Upatikanaji wa Huduma ya Maji ya Uhakika
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amewataka Wakurugenzi wa Bodi za Maji za Mabonde nchini kuonesha umuhimu wa taasisi hizo kwa wananchi kwa vitendo, kwa kutoa huduma bora, sahihi na zenye kuleta tija.... Soma zaidi
Imewekwa: Jan 28, 2026
