Habari
Wadau wa Maendeleo Kushirikishwa Uimarishaji Huduma ya Maji Mwanza
Serikali inaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuimarisha huduma ya maji kwa wananchi jijini Mwanza.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 19, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Huduma ya Maji Mwanza
Hatua zilizochukuliwa na Serikali kuhusu huduma ya maji jijini Mwanza imeonesha matokeo mazuri kwa huduma hiyo kuendelea kuimarika.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 19, 2026
Waziri wa Maji Aivunja Menejimenti ya MWAUWASA
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), ameivunja Menejimenti ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kufuatia kutoridhishwa kwake na kiwango cha utoaji huduma ya majisafi na salama jijini Mwanza.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 17, 2026
Wizara ya Maji Yatakiwa Kutekeleza Miradi kwa Kuzingatia Uhifadhi wa Ardhi Oevu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Emmanuel Nchimbi, ameielekeza Wizara ya Maji kuhakikisha kuwa utekelezaji wa miradi ya maji nchini unazingatia uhifadhi na ulinzi wa ardhi oevu.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 08, 2026
Teknolojia ya Kurejesha Majitaka kwa Matumizi Mengine Yajadiliwa na Wadau wa Sekta ya Maji
Wadau wa Sekta ya Maji wamejadili teknolojia na mbinu mbalimbali za kutibu na kurejesha majitaka kwa matumizi mengine yenye manufaa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usimamizi endelevu wa rasilimali za maji nchini.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 05, 2026
Sekta ya Maji Yapata Mafanikio Makubwa Katika Utekelezaji wa Miradi
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Mhandisi Mathew Kundo (Mb), amewapongeza watumishi wa Sekta ya Maji kwa mchango wao mkubwa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji nchini.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 05, 2026
