Habari
Wadau Waalikwa Kuwekeza katika Uhifadhi wa Ziwa Victoria
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Rose Ambrose, ametoa wito kwa washirika wa maendeleo na wadau mbalimbali kuwekeza katika uhifadhi na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji za Ziwa Victoria.... Soma zaidi
Imewekwa: May 20, 2026
Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuhifadhi Ziwa Victoria
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, ametoa wito kwa wananchi wanaoishi katika maeneo ya Bonde la Ziwa Victoria kushirikiana kikamilifu katika kulinda na kuhifadhi rasilimali za maji za ziwa hilo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.... Soma zaidi
Imewekwa: May 20, 2026
Serikali Kumaliza Adha ya Maji Chemba Kupitia Mradi wa Bilioni 11
Serikali imeahidi kumaliza kabisa adha ya uhaba wa maji kwa wakazi wa Mji wa Chemba kupitia Mradi wa Maji wa Miji 28 unaotekelezwa na Wizara ya Maji.... Soma zaidi
Imewekwa: May 19, 2026
Miti 2,000 Yaoteshwa Chanzo cha Maji Butimba Siku ya Ziwa Victoria
Wananchi katika mkoa wa Mwanza wameshiriki kampeni ya kutunza vyanzo vya maji katika ziwa Victoria kwa kuanza kuotesha miti elfu mbili katika chanzo cha maji cha Butimba.... Soma zaidi
Imewekwa: May 19, 2026
Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuendeleza Ziwa Victoria – RC Mtanda
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na ushirikishwaji wa jamii katika kuhifadhi rasilimali za Ziwa Victoria kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.... Soma zaidi
Imewekwa: May 19, 2026
