Habari
MKANDARASI BWAWA LA KIDUNDA ATAHADHIRISHWA KUJIANDAA NA MVUA ZA EL NINO
kidunda... Soma zaidi
Imewekwa: Jul 24, 2026
Mkutano wa nane wa SADC wa Maji Chini ya Ardhi Kufanyika Tanzania.
Tz... Soma zaidi
Imewekwa: Jul 17, 2026
Wataalamu wa Sekta ya Maji Wapatiwa Mafunzo ya Kuimarisha Usimamizi wa Ubora wa Maji katika Mabwawa Madogo
Wataalamu kutoka Sekta ya Maji wamepatiwa mafunzo maalumu yenye lengo la kujenga uelewa wa pamoja kuhusu namna bora ya kuandaa mpango wa kutathmini na kufuatilia ubora wa maji katika mabwawa madogo nchini kwa matumizi mbalimbali ikiwemo mifugo, kilimo na matumizi ya nyumbani.... Soma zaidi
Imewekwa: Jul 16, 2026
Wadau wa Sekta ya Maji Wasisitizwa Kushirikiana Kutatua Changamoto za Rasilimali za Maji
Wadau wa Sekta ya Maji nchini wametakiwa kuimarisha ushirikiano na kufanya kazi kwa pamoja katika kutafuta na kutekeleza suluhisho la changamoto mbalimbali zinazokabili usimamizi, uhifadhi na uendelezaji wa rasilimali za maji nchini.... Soma zaidi
Imewekwa: Jul 16, 2026
WaterAid Yakabidhi Mradi wa Maji Wenye Thamani ya Shilingi Milioni 465 Handeni
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amepokea rasmi Mradi wa Usambazaji wa Huduma ya Maji ya Mtandao wa Mabomba wa Kwamaizi uliotekelezwa katika Kata ya Kideleko, Halmashauri ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga.... Soma zaidi
Imewekwa: Jul 16, 2026
