Habari
Tanzania na Ujerumani Zaendeleza Ushirikiano Katika Sekta ya Maji
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amefanya mazungumzo na Kaimu Mkuu wa Idara ya Miradi ya Maendeleo katika Ubalozi wa Ujerumani nchini. Bi. Marlene Landes, jijini Dar es Salaam.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 20, 2026
Huduma ya Majisafi Yazidii Kuimarika Mwanza.
Huduma ya majisafi imezidi kuimarika katika jiji la Mwanza baada ya Serikali kuchukua hatua muhimu kutatua kero ya maji kwa wananchi.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 20, 2026
Wadau wa Maendeleo Kushirikishwa Uimarishaji Huduma ya Maji Mwanza
Serikali inaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuimarisha huduma ya maji kwa wananchi jijini Mwanza.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 19, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Huduma ya Maji Mwanza
Hatua zilizochukuliwa na Serikali kuhusu huduma ya maji jijini Mwanza imeonesha matokeo mazuri kwa huduma hiyo kuendelea kuimarika.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 19, 2026
Waziri wa Maji Aivunja Menejimenti ya MWAUWASA
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), ameivunja Menejimenti ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kufuatia kutoridhishwa kwake na kiwango cha utoaji huduma ya majisafi na salama jijini Mwanza.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 17, 2026
Wizara ya Maji Yatakiwa Kutekeleza Miradi kwa Kuzingatia Uhifadhi wa Ardhi Oevu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Emmanuel Nchimbi, ameielekeza Wizara ya Maji kuhakikisha kuwa utekelezaji wa miradi ya maji nchini unazingatia uhifadhi na ulinzi wa ardhi oevu.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 08, 2026
