Habari

Rais Dkt. Samia Aagiza Chanzo cha Maji cha Ziwa Victoria Kutunzwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa miradi yote ya maji imelenga kuboresha huduma ya majisafi na usafi wa mazingira.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 20, 2025

Rais Samia Aandika Historia Sekta ya Maji Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameandika historia mpya katika Sekta ya Maji nchini kwa kufanya uzinduzi wa Mradi wa Maji wa Lamadi wenye thamani ya Shilingi bilioni 12.83.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 19, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Apongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maji
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ali Ussi, ameipongeza Wizara ya Maji kwa utekelezaji madhubuti na wenye tija wa miradi ya majisafi na salama nchini, akisema kuwa mafanikio hayo yanadhihirika wazi kila inapopita mbio hizo na kukagua miradi ya maendeleo.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 17, 2025

Serikali Yajizatiti Kutunza Vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Taifa
Serikali kupitia Wizara ya Maji inaendelea kuongeza kasi ya juhudi za kutunza na kulinda vyanzo vya maji nchini, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha usalama wa maji kwa matumizi ya sasa na kwa vizazi vijavyo.... Soma zaidi
Imewekwa: May 21, 2025

Kamati ya Bunge ya Bajeti Yapokea Taarifa ya Utekelezaji wa Mfuko wa Taifa wa Maji
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imepokea taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Taifa wa Maji kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko huo, Wakili Haji Nandule, katika kikao rasmi kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: May 21, 2025

Sekta ya Maji Yazidi Kuimarika Kupitia Ushirikiano na Wadau wa Kimataifa
Wizara ya Maji imekutana na ujumbe kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) pamoja na Asasi ya Kimataifa ya WaterAid kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika maeneo ya maji, usafi wa mazingira na usafi binafsi.... Soma zaidi
Imewekwa: May 21, 2025