Habari

Waziri Mkuu Aitaka Wizara ya Maji Kutatua Changamoto ya Upotevu wa Maji

​Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ameielekeza Wizara ya Maji kuchukua hatua madhubuti ili kupata ufumbuzi wa changamoto ya upotevu wa maji, akisisitiza kuwa hali hiyo inaathiri kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 22, 2026

Serikali Kuimarisha Ushirikiano na Sekta Binafsi na Wadau wa Maendeleo katika Utoaji wa Huduma

​Serikali inaendelea kutekeleza mkakati wa kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi pamoja na wadau wa maendeleo katika utoaji wa huduma ya maji safi na usafi wa mazingira, kwa kuzingatia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 21, 2026

Wizara ya Maji Yapewa Pongezi na Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira,

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeipongeza Wizara ya Maji kwa juhudi kubwa na kazi nzuri inayoendelea kufanyika katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji pamoja na kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 21, 2026

Kamati ya Bunge Yaridhishwa na Utendaji wa RUWASA na Mfuko wa Maji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeeleza kuridhishwa na utendaji wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maji, hususan Mfuko wa Taifa wa Maji na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA).... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 21, 2026

Bilioni 81 Kumaliza Changamoto ya Maji Morogoro

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesema kuwa kukamilika kwa ujenzi wa Mtambo wa Kutibu Maji kutawezesha Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) kuongeza uzalishaji wa maji kwa lita milioni 54 kwa siku, kutoka uwezo wa sasa wa kuzalisha lita milioni 47 kwa siku.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 19, 2026

Waziri Aweso Apokea Mabomba ya Bil. 7, Ataka Mradi wa Maji Mkinga–Horohoro Ukamilike Haraka

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesisitiza kuwa kazi ya ujenzi wa Mradi wa Maji wa Mkinga–Horohoro unaotekelezwa katika Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga, ni lazima ikamilike haraka iwezekanavyo na kuzingatia viwango.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 17, 2026