Habari
Teknolojia ya Kurejesha Majitaka kwa Matumizi Mengine Yajadiliwa na Wadau wa Sekta ya Maji
Wadau wa Sekta ya Maji wamejadili teknolojia na mbinu mbalimbali za kutibu na kurejesha majitaka kwa matumizi mengine yenye manufaa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usimamizi endelevu wa rasilimali za maji nchini.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 05, 2026
Sekta ya Maji Yapata Mafanikio Makubwa Katika Utekelezaji wa Miradi
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Mhandisi Mathew Kundo (Mb), amewapongeza watumishi wa Sekta ya Maji kwa mchango wao mkubwa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji nchini.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 05, 2026
UNICEF Yaipa Kongole Tanzania Kwa Kupiga Hatua Kubwa Kwenye Huduma ya Maji na Usafi Wa Mazingira
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeipongeza Tanzania kwa kuendelea kupiga hatua kubwa katika kuboresha huduma za maji na usafi wa mazingira, hatua zinazotokana na uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali katika sekta hiyo.... Soma zaidi
Imewekwa: Jun 05, 2026
Serikali Yasisitiza Ulinzi na Uhifadhi wa Ziwa Victoria
Waziri Mkuu,, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Ziwa Victoria ni rasilimali ya pamoja inayohitaji kulindwa na kuhifadhiwa kupitia ushirikiano wa kikanda kutokana na mchango wake mkubwa katika uchumi, biashara, mazingira, usalama na ustawi wa maisha ya wananchi wa ukanda wa Afrika Mashariki.... Soma zaidi
Imewekwa: May 22, 2026
Wadau Waalikwa Kuwekeza katika Uhifadhi wa Ziwa Victoria
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Rose Ambrose, ametoa wito kwa washirika wa maendeleo na wadau mbalimbali kuwekeza katika uhifadhi na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji za Ziwa Victoria.... Soma zaidi
Imewekwa: May 20, 2026
Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuhifadhi Ziwa Victoria
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, ametoa wito kwa wananchi wanaoishi katika maeneo ya Bonde la Ziwa Victoria kushirikiana kikamilifu katika kulinda na kuhifadhi rasilimali za maji za ziwa hilo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.... Soma zaidi
Imewekwa: May 20, 2026
