Habari

Wataalamu wa Sekta ya Maji Wapatiwa Mafunzo ya Kuimarisha Usimamizi wa Ubora wa Maji katika Mabwawa Madogo

Wataalamu kutoka Sekta ya Maji wamepatiwa mafunzo maalumu yenye lengo la kujenga uelewa wa pamoja kuhusu namna bora ya kuandaa mpango wa kutathmini na kufuatilia ubora wa maji katika mabwawa madogo nchini kwa matumizi mbalimbali ikiwemo mifugo, kilimo na matumizi ya nyumbani.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026

Wadau wa Sekta ya Maji Wasisitizwa Kushirikiana Kutatua Changamoto za Rasilimali za Maji

Wadau wa Sekta ya Maji nchini wametakiwa kuimarisha ushirikiano na kufanya kazi kwa pamoja katika kutafuta na kutekeleza suluhisho la changamoto mbalimbali zinazokabili usimamizi, uhifadhi na uendelezaji wa rasilimali za maji nchini.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026

WaterAid Yakabidhi Mradi wa Maji Wenye Thamani ya Shilingi Milioni 465 Handeni

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amepokea rasmi Mradi wa Usambazaji wa Huduma ya Maji ya Mtandao wa Mabomba wa Kwamaizi uliotekelezwa katika Kata ya Kideleko, Halmashauri ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026

Bwawa la Farkwa: Mradi wa Kimkakati wa Huduma ya Maji Wasaini Mkataba wa Ujenzi

​Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesema kuwa ujenzi wa Bwawa la Farkwa ni mpango mkakati wa Serikali wenye lengo la kutatua changamoto ya muda mrefu ya upatikanaji wa maji katika Jiji la Dodoma na maeneo yanayolizunguka.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026

Wataalam wa RUWASA Wanolewa Kuandaa Mipango Kabambe ya Maji na Usafi wa Mazingira

Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), kwa kushirikiana na Shirika la Water for People Tanzania, umeendesha mafunzo maalum kwa wataalam wanaounda Timu ya Uandaaji wa Mipango Kabambe ya Maji na Usafi wa Mazingira.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026

Serikali Yasaini Ruzuku ya Sh. Bil 60.7 Na Ujerumani Kuboresha Huduma ya Maji Tunduma na Vwawa–Mlowo

​Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa ruzuku na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani wenye thamani ya Euro milioni 20, sawa na takribani shilingi bilioni 60.7, kwa ajili ya kuboresha huduma za maji katika miji ya Tunduma na Vwawa–Mlowo.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026