Habari

​MKANDARASI BWAWA LA KIDUNDA ATAHADHIRISHWA KUJIANDAA NA MVUA ZA EL NINO

kidunda... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 24, 2026

WATENDAJI SEKTA YA MAJI WATAKIWA KUACHA ALAMA

mikataba... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 24, 2026

​Mkutano wa nane wa SADC wa Maji Chini ya Ardhi Kufanyika Tanzania.

Tz... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 17, 2026

Wataalamu wa Sekta ya Maji Wapatiwa Mafunzo ya Kuimarisha Usimamizi wa Ubora wa Maji katika Mabwawa Madogo

Wataalamu kutoka Sekta ya Maji wamepatiwa mafunzo maalumu yenye lengo la kujenga uelewa wa pamoja kuhusu namna bora ya kuandaa mpango wa kutathmini na kufuatilia ubora wa maji katika mabwawa madogo nchini kwa matumizi mbalimbali ikiwemo mifugo, kilimo na matumizi ya nyumbani.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026

Wadau wa Sekta ya Maji Wasisitizwa Kushirikiana Kutatua Changamoto za Rasilimali za Maji

Wadau wa Sekta ya Maji nchini wametakiwa kuimarisha ushirikiano na kufanya kazi kwa pamoja katika kutafuta na kutekeleza suluhisho la changamoto mbalimbali zinazokabili usimamizi, uhifadhi na uendelezaji wa rasilimali za maji nchini.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026

WaterAid Yakabidhi Mradi wa Maji Wenye Thamani ya Shilingi Milioni 465 Handeni

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amepokea rasmi Mradi wa Usambazaji wa Huduma ya Maji ya Mtandao wa Mabomba wa Kwamaizi uliotekelezwa katika Kata ya Kideleko, Halmashauri ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga.... Soma zaidi

Imewekwa: Jul 16, 2026