Habari
Ni Wakati Muafaka Kuimarisha Ushirikiano na Sekta Binafsi – Aweso
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa Sekta Binafsi katika kuleta mapinduzi ya huduma za majisafi na usafi wa mazingira barani Afrika wakati akifungua rasmi Kongamano la Maji na Maonesho ya Mwaka 2025 (AWAC 2025) lililofanyika katika Ukumbi wa Corridor Spring jijini Arusha.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 24, 2025
Waziri Aweso na RC Makalla wakubaliana Kuimarisha Ushirikiano Katika Usimamizi wa Sekta ya Maji Mkoani Arusha
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla kuhusu hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi na utekelezaji wa miradi ya maji mkoani humo.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 24, 2025
Aweso Aanza na Dodoma, Bilioni 62 Kutekeleza Miradi ya Muda Mfupi
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso ameanza na mkakati mahususi wa kuboresha huduma ya maji kwa kutekeleza miradi ya muda mfupi yenye thamani ya shilingi bilioni 62 katika Jiji la Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 21, 2025
Teknolojia ya Kisasa Itumike Katika Maombi ya Maunganisho ya Maji - Mhandisi Mwajuma
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri ametaka maombi ya maunganisho mapya yafanyike kwa teknolojia ya kisasa ili kupunguza urasimu na kufikisha huduma kwa wateja kwa wakati.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 20, 2025
Ujenzi wa Mabwawa ya Taka Sumu Uzingatie Sheria na Usalama
Serikali imeendelea kusisitiza kuwa ujenzi na usimamizi wa mabwawa ya taka sumu lazima uzingatie kikamilifu Sheria ya Usimamizi wa Rasilimali za Maji pamoja na kanuni za usalama ili kulinda mazingira na maisha ya wananchi.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 19, 2025
Waziri Aweso Ahimiza Matokeo kwa Watumishi Sekta ya Maji
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka watumishi wa Sekta ya Maji nchini kuthibitisha imani ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utendaji kazi wenye matokeo.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 18, 2025
