Habari

Vitengo vya Ufuatiliaji na Tathmini vya Sekta za Maji na Nishati Kuimarisha Ushirikiano

Vitengo vya Ufuatiliaji na Tathmini vya Wizara ya Maji na Wizara ya Nishati vimekubaliana kuimarisha ushirikiano na kubadilishana uzoefu kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa miradi na kuboresha huduma kwa wananchi.... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 11, 2026

Kamati ya Kudumu ya Bunge Yaridhishwa na Mikakati ya Ulinzi wa Rasilimali za Maji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeipongeza Wizara ya Maji kwa hatua mbalimbali inazochukua, ikiwemo utekelezaji wa ujenzi wa Gridi ya Taifa ya Maji.... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 11, 2026

Tumieni Mifumo ya Kiteknolojia Kudhibiti Upotevu wa Maji – Mhandisi Kundo

Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew (Mb), amewataka watendaji wa Sekta ya Maji nchini kutumia mifumo ya kisasa ya kiteknolojia kubaini na kudhibiti upotevu wa maji.... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 11, 2026

Mifumo ya Ununuzi Izingatiwe Kuharakisha Utekelezaji wa Miradi ya Maji

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia na kutumia ipasavyo mifumo ya ununuzi wa umma, hususan mfumo wa NeST, ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wadau wa Sekta ya Maji wakiwemo wakandarasi na hivyo kuharakisha utekelezaji na ukamilishaji wa miradi ya maji kwa wakati.... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 10, 2026

Kamati ya Siasa Chamwino Yaridhishwa na Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Miji 28

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Chamwino ikiongozwa na Mwenyekiti wake amabaye ni Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja imefanya Ziara ya Kutembelea Mradi wa Maji wa Miji 28.... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 10, 2026

Hatimaye Maji ya Ziwa Victoria Yafika Sikonge

Historia imeandikwa mara baada ya maji kutoka Ziwa Victoria kufika rasmi katika Mji wa Sikonge, tukio lililoshuhudiwa na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), kupitia Mradi wa Maji wa Miji 28, mkoani Tabora.... Soma zaidi

Imewekwa: Feb 08, 2026