Habari

Teknolojia ya Kurejesha Majitaka kwa Matumizi Mengine Yajadiliwa na Wadau wa Sekta ya Maji

​Wadau wa Sekta ya Maji wamejadili teknolojia na mbinu mbalimbali za kutibu na kurejesha majitaka kwa matumizi mengine yenye manufaa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usimamizi endelevu wa rasilimali za maji nchini.... Soma zaidi

Imewekwa: Jun 05, 2026

Sekta ya Maji Yapata Mafanikio Makubwa Katika Utekelezaji wa Miradi

Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Mhandisi Mathew Kundo (Mb), amewapongeza watumishi wa Sekta ya Maji kwa mchango wao mkubwa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji nchini.... Soma zaidi

Imewekwa: Jun 05, 2026

UNICEF Yaipa Kongole Tanzania Kwa Kupiga Hatua Kubwa Kwenye Huduma ya Maji na Usafi Wa Mazingira

​Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeipongeza Tanzania kwa kuendelea kupiga hatua kubwa katika kuboresha huduma za maji na usafi wa mazingira, hatua zinazotokana na uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali katika sekta hiyo.... Soma zaidi

Imewekwa: Jun 05, 2026

Serikali Yasisitiza Ulinzi na Uhifadhi wa Ziwa Victoria

Waziri Mkuu,, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Ziwa Victoria ni rasilimali ya pamoja inayohitaji kulindwa na kuhifadhiwa kupitia ushirikiano wa kikanda kutokana na mchango wake mkubwa katika uchumi, biashara, mazingira, usalama na ustawi wa maisha ya wananchi wa ukanda wa Afrika Mashariki.... Soma zaidi

Imewekwa: May 22, 2026

Wadau Waalikwa Kuwekeza katika Uhifadhi wa Ziwa Victoria

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Rose Ambrose, ametoa wito kwa washirika wa maendeleo na wadau mbalimbali kuwekeza katika uhifadhi na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji za Ziwa Victoria.... Soma zaidi

Imewekwa: May 20, 2026

Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuhifadhi Ziwa Victoria

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, ametoa wito kwa wananchi wanaoishi katika maeneo ya Bonde la Ziwa Victoria kushirikiana kikamilifu katika kulinda na kuhifadhi rasilimali za maji za ziwa hilo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.... Soma zaidi

Imewekwa: May 20, 2026