Habari

​Serikali yataka ulinzi na uhifadhi wa Ziwa Victoria

k... Soma zaidi

Imewekwa: May 22, 2026

Wadau Waalikwa Kuwekeza katika Uhifadhi wa Ziwa Victoria

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Rose Ambrose, ametoa wito kwa washirika wa maendeleo na wadau mbalimbali kuwekeza katika uhifadhi na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji za Ziwa Victoria.... Soma zaidi

Imewekwa: May 20, 2026

Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuhifadhi Ziwa Victoria

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, ametoa wito kwa wananchi wanaoishi katika maeneo ya Bonde la Ziwa Victoria kushirikiana kikamilifu katika kulinda na kuhifadhi rasilimali za maji za ziwa hilo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.... Soma zaidi

Imewekwa: May 20, 2026

Serikali Kumaliza Adha ya Maji Chemba Kupitia Mradi wa Bilioni 11

​Serikali imeahidi kumaliza kabisa adha ya uhaba wa maji kwa wakazi wa Mji wa Chemba kupitia Mradi wa Maji wa Miji 28 unaotekelezwa na Wizara ya Maji.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2026

Miti 2,000 Yaoteshwa Chanzo cha Maji Butimba Siku ya Ziwa Victoria

Wananchi katika mkoa wa Mwanza wameshiriki kampeni ya kutunza vyanzo vya maji katika ziwa Victoria kwa kuanza kuotesha miti elfu mbili katika chanzo cha maji cha Butimba.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2026

Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuendeleza Ziwa Victoria – RC Mtanda

​Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na ushirikishwaji wa jamii katika kuhifadhi rasilimali za Ziwa Victoria kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2026