Habari
Aweso Acha Neema Kivule, Azindua Utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Sh. Bilioni 2.7
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), ameacha neema kwa wakazi wa Kivule baada ya kuzindua rasmi utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Kivule wenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 2.7.... Soma zaidi
Imewekwa: Dec 02, 2025
Waziri wa Maji Afanya Ziara ya Nyumba kwa Nyumba Kufuatilia Huduma ya Maji Kinyerezi
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), ametembea nyumba kwa nyumba ili kujua hali halisi ya upatikanaji wa huduma ya maji katika Kata ya Kinyerezi, wilayani Ilala, Jiji la Dar es Salaam.... Soma zaidi
Imewekwa: Dec 02, 2025
Wahitimu wa Chuo cha Maji Wapate Nafasi Kwenye Sekta ya Maji – Aweso
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amezitaka taasisi za Sekta ya Maji kuwapa nafasi vijana ambao ni wahitimu wa fani mbalimbali katika Chuo cha Maji kuonyesha ujuzi wao.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 28, 2025
Ni Wakati Muafaka Kuimarisha Ushirikiano na Sekta Binafsi – Aweso
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa Sekta Binafsi katika kuleta mapinduzi ya huduma za majisafi na usafi wa mazingira barani Afrika wakati akifungua rasmi Kongamano la Maji na Maonesho ya Mwaka 2025 (AWAC 2025) lililofanyika katika Ukumbi wa Corridor Spring jijini Arusha.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 24, 2025
Waziri Aweso na RC Makalla wakubaliana Kuimarisha Ushirikiano Katika Usimamizi wa Sekta ya Maji Mkoani Arusha
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla kuhusu hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi na utekelezaji wa miradi ya maji mkoani humo.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 24, 2025
Aweso Aanza na Dodoma, Bilioni 62 Kutekeleza Miradi ya Muda Mfupi
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso ameanza na mkakati mahususi wa kuboresha huduma ya maji kwa kutekeleza miradi ya muda mfupi yenye thamani ya shilingi bilioni 62 katika Jiji la Dodoma.... Soma zaidi
Imewekwa: Nov 21, 2025
