Habari


Katibu Mkuu Maji asisitiza utoaji wa elimu ya utunzaji mto mara kwa wanafunzi
k... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 13, 2025

Watumishi Wenye Sifa Waingizwe Kwenye Mfumo Wa E-Utumishi
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira pamoja na maafisa rasilimali watu kuhakikisha watumishi wote wenye sifa wanaingizwa kwenye mfumo wa E-Utumishi.... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 11, 2025

Mkurugenzi Mtendaji BUWASA Aridhishwa na Maendeleo ya Mradi wa Maji Nyamuswa
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWASA), Esther Gilyoma,ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Nyamuswa,... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 10, 2025

Mwenge wa Uhuru Wazindua Mradi wa Maji wa Zaidi ya Bilioni 3 Kagera
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ally Ussi, amezindua mradi wa upanuzi wa mtandao wa majisafi awamu ya pili wenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 3.15, mradi unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA).... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 09, 2025

IGUWASA Yawekeza Zaidi ya Sh. Bilioni 1.86 Kwenye Huduma ya Usafi wa Mazingira
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Igunga (IGUWASA) imeanza kutumia magari mapya ya kisasa ya uondoshaji majitaka, baada ya uwekezaji wa zaidi ya Shilingi bilioni 1.86 katika mradi wa ujenzi wa mabwawa ya majitaka na ununuzi wa magari hayo.... Soma zaidi
Imewekwa: Sep 08, 2025