Habari

​Wizara ya Maji kuwajengea uwezo wataalam kuhusu usalama wa mabwawa.

l... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 31, 2026

Tanzania Yasisitiza Dhamira Kuendeleza Diplomasia Ya Maji

Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendeleza ushirikiano wa kikanda katika usimamizi wa rasilimali za maji katika Mkutano wa Maji wa Sululta na Diplomasia ya Maji (Sululta Water and Hydro Diplomacy Conference) uliofanyika katika Mji wa Bishoftu, nchini Ethiopia.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 31, 2026

Maji Washirikiana na Sekta Binafsi Kuendeleza Vyanzo vya Maji

Sekta ya Maji inaendelea kuwashirikisha wadau wa maendeleo na sekta binafsi katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maji kwa manufaa ya jamii.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 26, 2026

Jarida la Wiki ya Maji 2026

Wiki ya Maji... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 19, 2026

Serikali yajidhatiti kutoa huduma bora kwa wananchi

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesema Serikali imejidhatiti kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za majisafi na usafi wa mazingira kwa mageuzi ya sekta na usimamizi madhubuti wa mamlaka za maji nchini.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 19, 2026

Kamati ya Bunge Yapongeza Utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kidunda

Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira imetoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuidhinisha Shilingi bilioni 335 na kuwezesha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bwawa la Kidunda, mkoani Morogoro.... Soma zaidi

Imewekwa: Mar 18, 2026