Habari
Vitengo vya Ufuatiliaji na Tathmini vya Sekta za Maji na Nishati Kuimarisha Ushirikiano
Vitengo vya Ufuatiliaji na Tathmini vya Wizara ya Maji na Wizara ya Nishati vimekubaliana kuimarisha ushirikiano na kubadilishana uzoefu kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa miradi na kuboresha huduma kwa wananchi.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 11, 2026
Kamati ya Kudumu ya Bunge Yaridhishwa na Mikakati ya Ulinzi wa Rasilimali za Maji
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeipongeza Wizara ya Maji kwa hatua mbalimbali inazochukua, ikiwemo utekelezaji wa ujenzi wa Gridi ya Taifa ya Maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 11, 2026
Tumieni Mifumo ya Kiteknolojia Kudhibiti Upotevu wa Maji – Mhandisi Kundo
Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew (Mb), amewataka watendaji wa Sekta ya Maji nchini kutumia mifumo ya kisasa ya kiteknolojia kubaini na kudhibiti upotevu wa maji.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 11, 2026
Mifumo ya Ununuzi Izingatiwe Kuharakisha Utekelezaji wa Miradi ya Maji
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia na kutumia ipasavyo mifumo ya ununuzi wa umma, hususan mfumo wa NeST, ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wadau wa Sekta ya Maji wakiwemo wakandarasi na hivyo kuharakisha utekelezaji na ukamilishaji wa miradi ya maji kwa wakati.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 10, 2026
Kamati ya Siasa Chamwino Yaridhishwa na Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Miji 28
Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Chamwino ikiongozwa na Mwenyekiti wake amabaye ni Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja imefanya Ziara ya Kutembelea Mradi wa Maji wa Miji 28.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 10, 2026
Hatimaye Maji ya Ziwa Victoria Yafika Sikonge
Historia imeandikwa mara baada ya maji kutoka Ziwa Victoria kufika rasmi katika Mji wa Sikonge, tukio lililoshuhudiwa na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb), kupitia Mradi wa Maji wa Miji 28, mkoani Tabora.... Soma zaidi
Imewekwa: Feb 08, 2026
