Habari

Wadau wakaribishwa kuwekeza uhifadhi ziwa Victoria

l... Soma zaidi

Imewekwa: May 20, 2026

​Ushirikiano wahitajika kutunza ziwa Victoria

k... Soma zaidi

Imewekwa: May 20, 2026

Serikali Kumaliza Adha ya Maji Chemba Kupitia Mradi wa Bilioni 11

​Serikali imeahidi kumaliza kabisa adha ya uhaba wa maji kwa wakazi wa Mji wa Chemba kupitia Mradi wa Maji wa Miji 28 unaotekelezwa na Wizara ya Maji.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2026

Miti 2,000 Yaoteshwa Chanzo cha Maji Butimba Siku ya Ziwa Victoria

Wananchi katika mkoa wa Mwanza wameshiriki kampeni ya kutunza vyanzo vya maji katika ziwa Victoria kwa kuanza kuotesha miti elfu mbili katika chanzo cha maji cha Butimba.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2026

Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuendeleza Ziwa Victoria – RC Mtanda

​Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na ushirikishwaji wa jamii katika kuhifadhi rasilimali za Ziwa Victoria kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2026

Mkandarasi Atakiwa Kuharakisha Ukamilishaji wa Mradi wa Maji Miji 28 Mafinga

​Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Rose Ambrose, ameitaka Kampuni ya Jandu Plumbers Ltd kuongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 Mafinga ili wakazi wa Mafinga na maeneo jirani ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa.... Soma zaidi

Imewekwa: May 19, 2026