Habari
Serikali Kumaliza Adha ya Maji Chemba Kupitia Mradi wa Bilioni 11
Serikali imeahidi kumaliza kabisa adha ya uhaba wa maji kwa wakazi wa Mji wa Chemba kupitia Mradi wa Maji wa Miji 28 unaotekelezwa na Wizara ya Maji.... Soma zaidi
Imewekwa: May 19, 2026
Miti 2,000 Yaoteshwa Chanzo cha Maji Butimba Siku ya Ziwa Victoria
Wananchi katika mkoa wa Mwanza wameshiriki kampeni ya kutunza vyanzo vya maji katika ziwa Victoria kwa kuanza kuotesha miti elfu mbili katika chanzo cha maji cha Butimba.... Soma zaidi
Imewekwa: May 19, 2026
Ushirikiano Wahitajika Kulinda na Kuendeleza Ziwa Victoria – RC Mtanda
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano na ushirikishwaji wa jamii katika kuhifadhi rasilimali za Ziwa Victoria kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.... Soma zaidi
Imewekwa: May 19, 2026
Mkandarasi Atakiwa Kuharakisha Ukamilishaji wa Mradi wa Maji Miji 28 Mafinga
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Rose Ambrose, ameitaka Kampuni ya Jandu Plumbers Ltd kuongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 Mafinga ili wakazi wa Mafinga na maeneo jirani ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa.... Soma zaidi
Imewekwa: May 19, 2026
