| Kitengo cha Huduma za Sheria |  |
Kitengo cha Huduma za Kisheria kinaongozwa na Mwanasheria Mkuu.
Kazi zake ni:
• Kutoa ushauri na misaada ya kisheria kwa Wizara kwa kutafsiri sheria, mikataba, makubaliano na mikataba ya manunuzi pamoja na nyaraka zote za kisheria.
• Inashiriki katika uandaaji wa miswada au sheria na sheria ndogo ndogo.
• Kusimamia mashtaka na kufuatilia kesi mahakamani pamoja na kutunza kumbukumbu za maamuzi ya mahakama.
.
|