| Kitengo cha Fedha na Uhasibu |  |
Idara ya Fedha na Uhasibu inaongozwa na Mhasibu Mkuu.
Kazi zake ni:
Mishahara:
• Uandaaji wa maliopo ya mishahara kwa wakati
• Kuwasilisha makadirio ya mishahara ya watumishi.
Ofisi ya Malipo:
• Kupeleka orodha ya malipo hazina.
• Kukusanya hundi kutoka hazina.
• Kuhifadhi hundi na pesa taslimu.
• Kuandaa ripoti ya mwezi.
• Kutoa malipo ya pesa taslimu/Hundi kwa wafanyakazi au wateja/watoa huduma.
• Kuhifadhi orodha ya malipo.
• Kutunza daftari la malipo ya pesa taslimu.
• Kuandaa na kutoa malipo yote.
Mapato:
• Kukusanya mapato yote.
• Kusimamia mapato yote kulingana na kanuni na miongozo.
• Kukusanya kodi za mwaka, ada za maombi na malipo mengine.
• Kusimamia makusanyo ya mapato.
Pensheni:
• Kuandaa malipo ya pesheni kwa wakati.
• Kutuma kumbukumbu za pensheni.
Bajeti
• Kuandaa bajeti.
• Kusimamia matumizi.
|