| Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani |  |
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kinaongozwa na Mkaguzi Mkuu wa Ndani
kazi zake ni:
• Kuandaa mpango mkakati wa ukaguzi.
• Kuratibu kazi za ukaguzi.
• Kutoa ushauri kwa Afisa Msuuli katika matumizi ya fedha.
• Kufanya ukaguzi wa vifungu vya fedha na wale wote wanaopokea fedha ya Wizara.
• Kuweka sawa mifumo ya uhasibu, uhakiki wa malipo na ukusanyaji wa risiti.
• Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo.
• Kupitia taarifa za ukaguzi wa ndani na nje kwa kushirikiana na uongozi wa juu Wizarani.
|