Swahili | English        Barua Pepe
 Maswali |  Viunganishi Muhimu | Ramani ya Tovuti | Wasiliana Nasi        
 
Picha

Click on the thumb to view the photo

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji akiwasha moja ya magari aliyoyakabidhi kwa Sekretarieti za Mkoa, Halmashauri, Mabonde na Mamlaka za maji katika miji midogo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji akiwahutubia washiriki wa hafla ya makabidhiano ya vitendea kazi vinavyotolewa na programu ya maendeleo ya sekta ya maji ya WSDP.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji (kushoto) akikabidhi Pikipiki kwa mwakilishi wa Sekretarieti ya Mkoa na kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi.
Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji (kushoto) akikabidhi moja ya magari yaliyokabidhiwa kwa mwakilishi kutoka Mkoa wa Kagera Mhandisi Mshauri wa Maji Avitus Exavery.

«Back to the list of Albums


 

   

   

  Programu /  Miradi /  Maelezo /  Zabuni
Nafasi za Kazi /  Hotuba /  Picha
Makala /  Takwimu /  Tafiti /  Nafasi za Uwekezaji